News

SERIKALI imetoa vifaa vya kisasa vya utafiti wa maji chini ya ardhi,huku ikitoa maagizo kwa mamlaka za maji kuhakikisha ...
Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria, Ezekiel Wenje amewataka wanachama wa CHADEMA kuendeleza kampeni ya ‘no reforms no election’ ...
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameialika Ukraine kushiriki katika "mazungumzo ya moja kwa moja" tarehe 15 Mei, saa chache baada ...
Wananchi wa kijiji Luhangano kata ya Mputa wilaya ya Namtumbo wameiomba serikali kuona umuhimu wa kuwasaidia kuwapelekea ...
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekabidhiwa rasmi jukumu la kutekeleza mradi wa kuunganisha umeme katika vitongoji 105 vya Mkoa wa Mbeya.
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya imemuhukumu, Ramadhani Mwakilasa kifungo cha nje baada ya kukutwa na hatia ya kumuua ...
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa ...
"Kuna mambo mengine sikutaka kuyasema kwa sababu nina uwezo mkubwa sana wa kupuuza lakini nimechokonolewa sana na baadhi ya ...
Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Ziada Sellah amezindua rasmi Kampeni ya kitaifa ya Afya ya Akili ni Afya, yenye lengo la ...
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amelipongeza Baraza la Waislamu Tanzania(BAKWATA) kuendelea kusimamia amani na utulivu nchini kwa ...
Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu, leo ametangaza kwamba uchambuzi wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za ...
FUKUTO ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) linazidi kushika kasi baada ya jana viongozi wengine kutoka ...